"Marching to Zion" - trailer in Swahili
http://www.framingtheworld.com/m2z.html
http://www.faithfulwordbaptist.org
Kwa zaidi ya miaka 1800, Wayahudi wakawa wametawanyika kwa mataifa yote.
Halafu mawaka wa 1948, kisichofikirika kikafanyika. Nchi huru ya Israeli ikaanzishwa, na Wayahudi kwa mara nyingine wakamiliki nchi ya ahadi. Wakristu wengi wametangaza jambo hili kama muujiza na baraka toka kwa Mungu, lakini je, hii ilikuwa baraka toka kwa Bwana au nguvu za giza zilihusishwa? Filamu hii ina jibu.