Enda sasa Sheikh Abdullah Al-Faisal aliyepigwa marufuku nchini akaigharimu Kenya shilingi millioni 30 ili kurejeshwa nchini mwake Jamaica, haya ni kwa mujibu wa waziri wa uhamiaji Otieno Kajwang aliyesema kwamba gharama hiyo ni ya kukodi ndege ya kumsafirisha Al Faisal moja kwa moja hadi jijini Kingston nchini Jamaica. Je, serikali itamudu gharama.
Link to this comment:
All Comments (0)