Jicho Pevu: Fulusi Za Nuhusi - pt.2

Loading...

Sign in or sign up now!
Alert icon
Upgrade to the latest Flash Player for improved playback performance. Upgrade now or more info.
20,639
Loading...
Alert icon
Sign in or sign up now!
Alert icon

Uploaded by on Mar 18, 2010

Raia kutoka mataifa ya nje wamekuwa wakikaribishwa kwa moyo mkunjufu humu nchini pasi na kusumbuliwa. Hata hivyo wengi miongoni mwao wanadaiwa kujihusisha na kazi mbali mbali haramu nchini ikiwemo uuzaji wa madawa ya kulevya.Baada ya kuwachunguza na kufuata nyayo zao kwa muda mwanahabari wetu mpekuzi Mohammed Ali hatimaye alifaulu kufichua sakata yote ya uzalishaji wa pesa bandia kabla ya kuwavua nguo uchi wa mnyama jamaa wawili raia wa Congo na Cameroon waliokuwa na mazoea ya kuchuma mali ya watu wengine. kwa ngoma kamili kaa kitako na utazame jinsi mambo yalivyopangwa na kupanguliwa katika sehemu hii ya pili na ya mwisho ya makala haya Fulusi Za Nuhusi.

  • likes, 0 dislikes

Link to this comment:

Share to:

Top Comments

  • Am really worried for these journlists they have unearthed so much underground scams and crime of heavy magntude that they are likely to be in great danger...similar situations get to the corrupt police squads(flying..kwekwe ..etc) who finally corraborate with criminals...cudos guys u are doing this for wanachi wote ..but take extra caution on ur day to day safety and security

  • They will be out very soon! KTN crews have to be protected from this criminals!

see all

All Comments (11)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • Mohammed Ali you really do a great job..Heko kwako..

  • the should be thrown in jail and upon release, immediate deportation.Keep up the good job Mohammed.

  • guyz itold u soo what will kenyan;s do without you.

  • crazily greedy lawyers like this cliff ombeta should be hauled outta town.....

  • i bet u my truck... they gone have to pay so much to get out, one thing i know about money laundering in kenya when you get caught they might never let u out, i know this for a fact. My homes allan kasavuli for all i know might still be locked up for that same reason. *****WASH WASH ****** they called it back in them days.

  • Am afraid they will be walking free and taking innocent people's lives soon

  • What are you willing to bet, that these guys will be out and running free in a few weeks?

  • Hongera kwa uchunguzi wenu!!!tutumai kuwa sheria itawapa funzo matapeli hawa!!!!Big Up Guys n KTN!

Loading...

Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more