Huenda mchuano wa timu ya taifa harambee stars dhidi ya Guinea Bissau ndio uliokuwa wa mwisho kwa kocha Twahir Muhiddin. Duru zilieleza Ktn kwamba wadhifa wa ukufunzi utatangazwa hadharani kwa yeyote aliye na uzoefu kutwaa nafasi hiyo licha ya Muhiddin kushikilia kwamba habanduki kutoka wadhifa huo.
Link to this comment:
All Comments (1)