http://www.ntv.co.ke
Sehemu ya pili ya makala ya mapango ya Viunzi inafichua maeneo ya mlimani ambako ukatili ulifanyika. Katika maeneo hayo kundi la wanamgambo la SLDF liliwatesa mateka wao kabla ya kuwaua. Baadhi ya wakaazi wa maeneo hao ambao wanawatafuta wapendwa wao walikumbana na makaburi ya halaiki na mbuga za mauaji. Rose Wangui anakupasha zaidi.
Link to this comment:
All Comments (0)