Kenya ingali inakabiliwa na matatizo ya kiuchumi yaliyosababishwa na machafuko baada ya uchaguzi uliopita.
Pia, mabadiliko ya kiuchumi duniani, hasa katika soko la mafuta, yanachangia baadhi ya matatizo yanayokabili Kenya. Ni katika muktadha huu ndio tunaona bei ya kila kitu ikipanda na kuwaacha wengi hoi wasijue watazitoa wapi pesa za kuyakidhi mahitaji yao ya kimsingi.
the governor is right!!! the increase in wages will lead to an upward pressure on money supply and this will result in further inflationary pressure in the economy, in the long run an increase in wages will create further increase in prices.
walalo254 3 years ago