Producer na mmiliki wa Bongo Records, P.Funky 'majani', ambaye wikiendi iliyopita aliingia katika 'bifu' na Mfalme wa Rhymes Afande Sele, amevunja ukimya na kuongelea tukio hilo. Majani anakiri kumchapa kibao Afande lakini anakanusha kumtolea bastola kama alivyodai Sele na kunukuliwa katika media, Hapa anaelezea kisa kizima na sababu zilizomfanya amuadabishe mfalme huyo wa Rhymes wa Bongo...Bonyeza player msikilize mwenyewe.......
huyu jamaa bangi nyingi iam pretty sure most of his nuuts in the head are so loose
Tzpicha 1 year ago