DDC Milimani Park - Ni Nani Aliyemdanganya Mchumba Wangu
Uploader Comments (cutandgo)
All Comments (12)
-
@tizedboy wimbo huu walitoa kati ya mwaka 88 walilikodia Kenya baada ya Kutuhumu RTD wakati huo kwamba walikuwa wanauza kazi zao bila DDC kupata faida.kwa hiyo RTD wakawa hawapigi nyimbo yoyote ya DDC kutokana na tuhuma hizo. Nyimbo nyingine zilizotolewa na hii ni Pamoja na Kuku, Kisonoko, Moi,
-
this is the original muziki wa dansi from tanzania that time no congolies music no way swahili music was no 1 listen the original sound of tanzania the land of mwalimu haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ddc mko wapi wazee wetu mturudishi utamu wa zamani
-
this is the original uuziki wa dansi from tanzania that time no congolies music no way swahili music was in top listen the original sound of tanzania the land of mwalimu haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaad
dc mko wapi wazee wetu -
this is the original uuziki wa dansi from tanzania that time no congolies music no way swahili music was in top listen the original sound of tanzania the land of mwalimu haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaad
dc mko wapi wazee wetu -
this is not the origional one, when i used to listen when i was kid...kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk mentiroso band fake one, duplicate please i need origional one por favor
-
what a memory!! Hii album Kisonoko wairekodi nairobi Kenya!! Kuna ule mwimbo baba Moi nani anao??
-
kuna mtu anayejua waliimba lini huu wimbo?
-
Ahsante sana MightyLumber kwa huu wimbo. Nilitaka kukuuliza kama unaweza ku post nyimbo nyingine ambazo ziko kwa hii album kama vile "Kisonoko" na "Kutarajia Kujenga Nyumba Nzuri"
-
Katika hii alblum kuna wimbo kwa jina "Kisonoko" inwezekana kuna jamaa anao!! Please post it.
-
@LusaMonene Basi ndugu yaonekana ungwana ume kuoweka,mbona uwataje wakenya?chuki na wivu mbaya,huu mziki hauna uhusiano na wakenya hata chembe kwa hivyo furhia mziki na uwaache wakenya kwa upole,ahsante.Maendeleo kenya.
You are almost there: The band is called D.D.C. Mlimani Park or Sikinde as it is known in TZ (Tanzania), the name of the song is "Ni Nani Aliyemdanganya Mchumba wangu?"
Big up Sikinde for this song, sad but it happens in toiday's society.
MightyLumber 2 years ago
A mighty thanks for clarifying!
cutandgo 2 years ago