Alert icon
We're changing our privacy policy. This stuff matters.  Learn more  Dismiss

GTV: NJAA KALI KENYA UNGA 120 KSHs

Loading...

Sign in or sign up now!
Alert icon
Upgrade to the latest Flash Player for improved playback performance. Upgrade now or more info.
2,850
Loading...
Alert icon
Sign in or sign up now!
Alert icon

Uploaded by on Dec 1, 2008

KIBAKI WAMEGAWANA UNGA NA RAILA WANANCHI WABAKI NJAA KALI

Category:

Nonprofits & Activism

Tags:

License:

Standard YouTube License

  • likes, 1 dislikes

Link to this comment:

Share to:
see all

All Comments (2)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • Munishi Mbona kila kitu unawalaumu wanahabari? Naona kama na wewe sasa umeingia kwenye taaluma hiyo kichwa kichwa. Unatuletea habari moto moto hapa kwenye mtandao. GTV inachana mbuga NTV KBC wanaona vumbi tu. Je wewe utakuwa tofauti na wanahabari walarushwa? Au GTV ikipata watazamaji milioni mia moja nawe utatoa tumbo kubwa. Naona GTV inaelekea mahali pa kunyakua umaarufu wa CNN na BBC. Kwa sasa naweza kuilinganisha na MSNBC. Je unaapa kuyalinda maadili ya uandishi habari? Wanasiasa wasikununue.

  • Serikali ya mseto. Wamegawana madaraka, na sasa wanagawana hata UNGA wa mwananchi wa kawaida. Tumlaumu nani? Unga mfuko wa kilo mbili unagharimu 120 KSHs. Je ni sawa hivyo? Wanasiasa hawajali kwani mishahara yao ni minono na hawataki hata kukatwa kodi.Wanadai zile wanazotumia kuwahonga wanahabari ndiyo kodi yao. Kila mhariri wakati wa uchaguzi tumbo huwa kubwa kwa hongo toka wanasiasa. Je ni MEDIA imechangia mfumko wa bei ya unga na bidhaa nyingine muhimu? Watasema hapana ni wanasiasa. wasemaje?

Loading...
Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more