Asante- Joan Wairimu
Uploader Comments (KibsKems)
Top Comments
-
Be blessed.
-
best song dada. ben
All Comments (57)
-
this is a great song... Asante.. he deserve to be thanks and praised coz he cares for us. I sometime Imagine that if people were to pay oxygen we breathe no one would have ever afford to live for 10 years no matter how rich he/she would be. I like Pastor Joan Wairimu and I couldn't get my eyes out of her videos.
-
wow great song i love it, my daughters name is asanti half kenyan she is.
-
Nice song! God bless
-
bravo nouveauté" Bouana"
enzo
-
great singing
-
Asante sana christo kwa wema wako,nimeona ushindi mkubwa tangu nikujue baba.umenitendea makubwa pamoja na shirika langu lote,umenitoa gizani ukanipeleka kwa mwangaza,nimefungua macho yangu sasa maana naweza kuona yote ambayo umenifanyia.nina imani utazidi kunitendea makubwa.ombi langu nalipendekeza kwa wote ambao hawajapata nafasi kuonja uzuri wako.ninapo sema asante wacha hi iwe dhibitisho kwamba nakupenda na moyo wangu wote.bariki mwimbaji pamoja na kila mmoja anaye husika nami.
-
@abdalioh Continued
CHORUS:
Tazama baba umenitendea, mwanangu sasa ni mzima, ninapomtazama umuona mungu.
CHORUS
Note: the variation of the chorus as the song progresses, sorry am too lazy to repeat it.The X, maybe you will get them better than me
Mungu asifiwe daima.
-
@abdalioh (huu sio wimbo ninauimba, mbali ni ushuhuda. Mfanyikazi kampa mtoto wangu dawa ya mende akidhani ni 'kalfo', lakini kamwe haikumdhurukwani mungu ni mkuu)
sijui, mimi nifanyeje, sijui mimi niseme nini (ili ipokee shukrani zangu)X2
CHORUS: (nasema asante(baba)asanteX3:mimi nasema asanteX2 asanteX4: mimi nasema asante)
mwanangu, kwelikamhokoa,baada ya kunywa sumu (wala haikumdhuru,baba kamhokoa)X2
CHORUS:
Pokea sifa zote ni zako, pokea utukufu ni wako (heshima ni zako, pokea zote)X2
-
I just love that song even though I do not understand but I amlearning this beautiful language, I can feel the anointing !!!
Can someone write the lyrics for me please?
To sing along.
God Bless you all!!
-
Beautiful song.. Asante
Many Greetings from Eritrea!!!
we hould always every single moment bear in mind that tunafaa kumtukuza Mungu kila mara. He si gien us everythig including a direct line to access him and tell hm ourneeds. imagine i you would pray and your praer goes to an aswering machine!!!!!!
You have morethan enough to praise and thank God always n tafadhali soma Bible vyema wthout isolaing some parts and bits. May you be magnanimously blessed by the almighty
KibsKems 4 years ago