KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
1. Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko, ***
2. Na shari ya alivyo viumba, ***
3. Na shari ya giza la usiku liingiapo, ***
4. Na shari ya wanao pulizia mafundoni, ***
5. Na shari ya hasidi anapo husudu. ***
SURAT AL- FALAQ (113) tafsiri kwa Kiswahili
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
Asalaam Alaykoum Wa RahmatuLlah Wabarakatouh.
SURAT AL-FALAQ.
Imeteremka Makka ina aayah tano.
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
1. Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko, ***
2. Na shari ya alivyo viumba, ***
3. Na shari ya giza la usiku liingiapo, ***
4. Na shari ya wanao pulizia mafundoni, ***
5. Na shari ya hasidi anapo husudu. ***
113. SURAT AL-FALAQ
(Imeteremka Makka)
Sura hii inamtaka Nabii s.a.w. amwendee Mola wake Mlezi atake ulinzi kwake kujilinda na shari ya kila mwenye shari, ya viumbe vyake, na shari za usiku linapo ingia giza, yanayo yasibu nafsi katika hali ya upweke, na madhara ambayo mtu hawezi kujikinga nayo, na shari za mafisadi wanao pita kuharibu makhusiano na mawasiliano yalio baina ya watu, na shari za hasidi anaye tamani kuondoa neema alizo wapa Mwenyezi Mungu waja wake.
Kiarabu Sheikh Abdul Rahman Al-Sudaysi
Kiswahili Mohammad Suleiman
Takbir Yousuf Islam
sauti kutoka:
http://quranitukufu.net/Sikiliza/Sikiliza.htm
Tafsiri ya Qur-ani:-
http://www.quranitukufu.net/
Jazakoumu Llah khayr.
Masha'Allah, Jazakum Allah Khayr.
3abdulRazzaaq 11 months ago