Habari kutoka kenya Peace deal
Uploader Comments (mwambaocom)
All Comments (10)
-
now that rail has come closer to what he has been fighting for all his life{including his wife and past ancestors}lets hope he will cease the moment and utilise it,,not for his own benefit,but rather for the good of as all,of course him too
-
umefanya kweli kwakutupasha hii habari.asante sana na Mungu awe nasi.
-
Asante sana kwa habari hii toka Kenya. Kama wimbo sema: Tuungane mikono pamoja kazini.
-
ASANTE SANA KOFI ANNAN MAY GOD BLESS YOU FOR SAVING OUR COUNTRY YOU ARE A TRUE AFRICAN HERO and than you mwambaocom for keeping us in touch.
-
Hasta la victoria siempre...forever until victory!...thank u Anan!Kenya for all
-
keep the focus.bado kuna kazi mbele.
-
Nduyangu, Ahsanta sana kwa kutupa khabari hizi za kutia damu. Sasa tunaomba hiyo Implementation ya Agreement ifanyike kwa salama na amani. Na baada ya implementation ni kuhakikisha Cooperation na Mutual respect baina ya Raisi na Waziri Mkuu, katika kujenga taifa, bila ya kuwa na kukhitilafiana mara kwa mara na kufarikiana. Nduyenu, Ibn Yusuf
-
Thank you for allowing comments, thank you so much for keeping Kenyans posted mwambao.
Even this evil will be over...Long live Kenya!!
-
Umeona Kalonzo rushing to shake Railas hand. That is hypocricy soon they will be praising him However am sorry for Mr wetangula who looks very much affected. And where is Karua and Mungatana na Mutula. Kesho they will say we dint agree on this. Shame on them Big up Kenyans na Kazi ianzee....
You are welcomed bro
mwambaocom 4 years ago