Muziki asili yake wapi ee
muziki ni wanani ? eh
muziki hakuna mwenyewe
mziki ni mwito
mziki ni fundisho
mziki maombolezo
kilio
Usionione nikiiimba ukadhani niyayo furaha
kumbe ninayo huzuni moyoni
muziki a linga la nguvu duniaki kote [not clear]
ata makanisani wanaimba kwa kumuomba mungu ,kumuabudu kwa kumsifu mungu
ata kukiwa na sherehe za serikali mbele ya mwenye kiti kuhutubua ni muziki unaanza kwa kuwakusanya watu .
Kumbumbuka Paulo na Sila walimba gerezani mungu amewasikia
kumbukuka Musa aliimba mziki wa aina yake kuwakomboa wanaisraeli waliokuwa utumwani nchi ya misri
Ukiwa na sherehe utaimba nyimbo za furaha
ukiwa na taabu utaimba nyimbo za masikitiko
Ukifa leo utapelekwa kwa kaburini na nyimbo za maombolezo
Nimziki pekee uliona nguvu itawakusanya wabaya na wazuri siku ya mwisho mungu akitoa hukumu
Mziki sio uhuni
kama mziki ni huni kwanini unanunua kaseti ?
kama mziki ni huni mbona unaomba nyimbo redioni
kama mziki ni huni kwa nini unanunua rekodi
kama mziki ni huni unacheza muziki
kama mziki ni huni kwanini unafanya top ten show
kumbuka siku ya mwisho ikifika , kutakuwa mlio moja wa parapanda utakouwakusanya walioteule wote walioteuliwa kutoka pembe zote za dunia mungu siku ya mwisho akitoa hukumu [hukumu]
ata kwa mungu malaika wanaimba ooh
Muziki asili yake wapi ee
muziki ni wanani ? eh
muziki hauna mwenyewe
mziki ni mwito
mziki ni fundisho
mziki maombolezo
kilio
Usionione nikiiimba ukadhani niyayo furaha
kumbe ninayo huzuni moyoni
Muziki asili yake wapi ee
muziki ni wanani ? eh
muziki hauna mwenyewe
mziki ni mwito
mziki ni fundisho
mziki ni maombolezo
kilio
Usionione nikiiimba ukadhani niyayo furaha
kumbe ninayo huzuni moyoni
Translation coming soon
Remmy Ongala and his Super Matimila Orchestra are without doubt one Tanzanias most well known band. Remmy Ongala is originally from Zaire/Congo. He lost his mother when he was nine years old and had to take on the responsibility of raising his siblings. As a 17-year-old he was in a youth band, Bantu Success, as a singer and drummer. This was not popular with his family, so Remmy had to leave the band. Two years later he was again involved with music when as a guitarist he joined a few groups, among them Mickey Jazz in Zaire and Grand Mika Jazz in Uganda. In 1978 he moved to Tanzania and joined his uncles band, Orchestre Makassy in Dar es Salaam.
In 1981 he joined forces with Matimila, an 18-member band owned by a local businessman. Later on he formed Super Matimila and developed a style based on three guitars, bass and drum, plus saxophone. Remmy Ongala based his music on Soukous, that he proffers in a more raw version than usual, rooted as it is in local Tanzanian traditions.
He sets great store by Swahili lyrics that often have political stings against the wielders of power of all description, but he also shows a loyal defence of the common mans condition. Because of the lyrics so-called healing properties he is called The Doctor and is an enormously popular man in the Sinza neighbourhood, on the outskirts of Dar es Salaam, where he lives with his English wife, five children and a parrot.
The last few years he has not been able to perform as often as before, due to his suffering from diabetes [from lastfm.com]
Go in Peace, Doctor...
785duck 1 year ago 2
Ramadhani Mtoro Ongala 1947 - Dec 12 2010(DarEsSalaam)
tyty1794 1 year ago