Jamani we mama mbona mnyanyasaji hivyo, Huyo kaka alivyohamia hapo kama nakuona vile kichekoooo! Sasa hivi unamwambia kawakuta wenzie. Duh kweli wenye nyumba mmeweka pesa mbele!
Hii ni moja ya film chache iliyoenda shule....ma-actors wake POWA!!
zingine za hapa kwetu bongo ni za hali ya chini chini chini! Kuna watu ambao huzaliwa na kipaji cha uigizaji.Mtu kama JOTI wa comedy Tanzania , he could/can be the best from the best, hasa akipata some few classes- akitoka hapo atatoa KOMESHA YAKE ! mpaka sasa Joti is one precious sbd born talented, he`s all round! wengine SHULE TU NDIO DAWA!
Weka English captions. Safi sana! Nakumbuka walivyokuwa wanapiga hii scene pale kwa marehamu Reggis Magomeni.. Kweli Juma kawa mzungu anataka kupeleka bibi wa watu mahakamani!
Jamani we mama mbona mnyanyasaji hivyo, Huyo kaka alivyohamia hapo kama nakuona vile kichekoooo! Sasa hivi unamwambia kawakuta wenzie. Duh kweli wenye nyumba mmeweka pesa mbele!
Hilgrethable 2 months ago
Hii ni moja ya film chache iliyoenda shule....ma-actors wake POWA!!
zingine za hapa kwetu bongo ni za hali ya chini chini chini! Kuna watu ambao huzaliwa na kipaji cha uigizaji.Mtu kama JOTI wa comedy Tanzania , he could/can be the best from the best, hasa akipata some few classes- akitoka hapo atatoa KOMESHA YAKE ! mpaka sasa Joti is one precious sbd born talented, he`s all round! wengine SHULE TU NDIO DAWA!
mwile1 2 months ago
Weka English captions. Safi sana! Nakumbuka walivyokuwa wanapiga hii scene pale kwa marehamu Reggis Magomeni.. Kweli Juma kawa mzungu anataka kupeleka bibi wa watu mahakamani!
chemiche 1 year ago
idumu tanzania
kisura4 2 years ago