Aina mojawapo ya uzembe wa hali ya juu pamoja na ubadhirifu wa pesa za umma ambao pia unahatarisha maisha ya wananchi wasio na hatia katika barabara ya Bibi Titi Mohamed jijini Dar es salaam January 2, 2011
why are they blocking the pathway leading to zanaki st? kwani kuna tatizo gani?
2nd thing i notice, there are no traffic signs for pedestrians to follow. watu wanavuka barabara ovyo. this is not india. shudnt we be a little bit organised in order to save life and money of our fellow citizens? get meet with an accident they go to the hospital and spend millions. is it fair? we pay taxes and we should get benefits from it, what do you say fellow tanzanians?
dawa ni watu wasaidiane wakayatupe hayo matofali mbele ya ofisi ya meya au mbele ya nyumba yake labda ataelewa maana kusubiri hawa wendawazimu wayaondoe ni kukubali ajali ziendelee
yani hu ni ujinga zaidi, yani sana tu. kwa nini watu wapate shida, mi ata sielewi, amna chochote barabarani, watu inabidi warudishwe chekechea. its a shame. i agree with you brther.
Wanaohusia hawajali maisha ya watu....Wanajali mitumbo yao tu huku wananchi wanapoteza maisha...
mtamumie 2 months ago
why are they blocking the pathway leading to zanaki st? kwani kuna tatizo gani?
2nd thing i notice, there are no traffic signs for pedestrians to follow. watu wanavuka barabara ovyo. this is not india. shudnt we be a little bit organised in order to save life and money of our fellow citizens? get meet with an accident they go to the hospital and spend millions. is it fair? we pay taxes and we should get benefits from it, what do you say fellow tanzanians?
alround5 10 months ago
dawa ni watu wasaidiane wakayatupe hayo matofali mbele ya ofisi ya meya au mbele ya nyumba yake labda ataelewa maana kusubiri hawa wendawazimu wayaondoe ni kukubali ajali ziendelee
kamanda007 1 year ago
yani hu ni ujinga zaidi, yani sana tu. kwa nini watu wapate shida, mi ata sielewi, amna chochote barabarani, watu inabidi warudishwe chekechea. its a shame. i agree with you brther.
shaurialex 1 year ago