TRACK : RAILA MWANA MPOTEVU By Masai GTV GOSPEL
Uploader Comments (Munishi2)
All Comments (38)
-
Rais wa nne Kenya ni nani? Atachaguliwa kwa misingi gani? Haya ndiyo waigizaji wanajaribu kutabiri. Walitabiri 2007 ikatokea. Je 2012 itakuwaje?
-
Rais wa nne Kenya ni nani? Atachaguliwa kwa misingi gani? Haya ndiyo waigizaji wanajaribu kutabiri. Walitabiri 2007 ikatokea. Je 2012 itakuwaje?
-
Munishi2, you are saying "nilisema uchaguzi urudiwe..." Ulisema wewe as who? Go screw yourself and rudia uchaguzi katika nyumba yako. Or prepare your own ballot papers and do so, asshole!!!
-
hahahah funny
-
i bianchi per caso?
-
nyeri is in central province so u don't have to write it extra :)
just a friendly geographical correction (:
-
this guys should be banned from the internet.
-
Kibaki amefanya sawa japo kachelewa. Haikuwa lazima watu zaidi ya elfu moja wapoteze maisha yao ndipo huyo anayejiita msomi wa MAKERERE angamue kwamba ni ghali kuutetea uongo. Zaidi ya 1000 wamepoteza maisha kwa kile wadadisi wanachokiona kama mbinu ya Kibaki kuigawa Kenya katika matabaka ya walionavyo na wasokuwanavyo. Matajiri wachache walimtaka aendelee kukaza uzi, mpaka walipoona maji yanazidi unga wakalegeza kamba. Bado tunamtaka Raila asilipize kisasi. Watu kama Karua awasamehe tu.
-
Lakini tunampongeza KIBAKI hata kama. Sasa ni wakati wa kufanya kile alichokuwa akitanguliza kabla. Kuponya majeraha ya Kenya na kuwarudisha watu waliotimuliwa makwao. Isingewezekana kufanya hivyo, japo Kibaki alijidai angeweza. Hatujali nani ana mamlaka gani, ila wanasiasa wajue huu ni mwisho wa kucheza na maisha ya watu popote duniani.Jamii ya kimataifa iko macho. Hatuwezi kuwachia wanasiasa Kenya wachinje wananchi kwa maslahi yao kisiasa. Haiwezekani, tunalaani polisi waliowaua wakenya bure.
Nilisema uchaguzi urudiwe. Wengine hawakunielewa. Hiyo ndiyo njia pekee kumaliza mzozo KENYA. Sawa WAMEKUBALIANA kugawa madaraka nusu kwa nusu. Mbona bado Kibaki anangangania wizara nyeti? Kwani kuwapa ODM wizara ya fedha au ulinzi kuna ugumu gani? Si bado wizara hiyo itakuwa ikiongozwa na Mkenya? Au PNU ni wakenya kuliko wengine? Nilisema namlaumu Kibaki, bado nitamlaumu kama Kenya itarudi ilikotoka. Najua PNU watasema kitakachotokea kilikuwa kimepangwa.Mbona PNU wanapanga kuhujumu makubaliano?
Munishi2 3 years ago
Hate me or like me, but i stand for what i said. Kibaki is an opotunist. He was not able to remove Moi from power. Raila helped him to do so. But if i were to meet Kibaki, This is what i would have told him. "Raila a Luo said Kibaki a Kikuyu tosha. Why is it so hard for Kikuyu Kibaki to say Luo Raila Tosha??????" Now you said HATOSHI, Kenyans said ANATOSHA. Why use ECK to rob Kenyans of their president????" That is what I want to ask Mr. Kibaki.
Munishi2 4 years ago
Munishi watch out for this kind of stuff which makes the gospel you preach compromised. Be adviced preach the word not politics think about that
siotogo 4 years ago
They want KIBAKI in power again. Nothing wrong with that. But Kibaki to use ECK to rig himself to power, that is wrong. He is rewinding democracy back to 1970s. He was sworn in by his friend who has riches to worry about. But Raila was not after them. Now they are calling for Raila to make him swear that he will not put them in jail. That is how I see it. But should poor people have to die for that? POLICE who are killing their fellow Kenyans should be ashamed.
Munishi2 4 years ago
They should not behave the way they did if Kibaki did not rig the election. I blame Kibaki for all the mess Kenya is in. I am in Kenya i will not run away espcially this time. If Kibaki is burning Kenya I will burn with it. Please if they kill me burry me in Kenya not Tanzania my mother land. I love Kenyans. They are the first to suport my Gospel music talent. I will not run away in this time of their need.
Munishi2 4 years ago