http://www.ntv.co.ke
Kamishna wa polisi Mathew Iteere amekanusha madai kwamba polisi walihusika na mauwaji ya msemaji wa kundi la Mungiki Njuguna Gitau. Aidha waziri wa usalama Profesa George Saitoti anawataka wananchi kutoanza porojo kuhusiana na kifo hicho ilhali uchunguzi unaendelea. Lakini familia ya marehemu Njuguna inasema kuwa alikuwa amedokeza kuwa maisha yake yaliuwa hatarini.
Rest in peace Njuguna, ull always b remembered and ur legacy lives on .ur assasins will pay one way or another.
kanothe1 2 years ago
Rest In Peace Njunguna. Iteere and Saitoti you have blood on your hands. shame on you.
karuitha 2 years ago
Even if I had the information, I wont provide it. I will actually live in fear...But if it were you, would you go to snakes?
alvionjo 2 years ago
some of the things people these media houses say are rubbish...ati police where just 5 metres from the shooting scene? 500cm??? the guy was killed in a shop and the shop was pretty big. even the witness says that the guy clung to the counter pleading for mercy.That shop looked big meaning that police were also inside the shop? rubbish
ikiplagat1 2 years ago