Duu Ukiristo ni umeanzishwa na wapangani wa antiokia hili si balaa hili. Wakiristo acheni kuyumbishwa na watu wanaojifagilia makanisani. Njooni kwa Mola wenu mmoja tuu alieumba Ardhi na Mbingu na vilivyomo. Ktk Uislamu mtampata Yesu, Mussa, Muhammad na utomu wote achaneni na imani za kiroma
Utapiganaje na waisraeli bwana utakuwa unampinga Musa aliyewapereka pale au unapinga hekima ya musa. Sasa tujue nani zaidi bwana kati yenu na Musa aliyekuwa nabii. Tafuteni sababu nyingine za kupigana siyo ardhi. Mnaona Musa a.s hana akili kabisa kuwaweka pale waisraeli. Hivyo vita vitakuwa vya jana na leo si vya kale mbona kipindi cha Isa hakukuwako na vita bwana vilikuwa tayari vimekwisha sasa nani ameanzisha nyingine.
Wengine hatuogopi sauti za watoto hata wakiitwa masharifu ni habari tu za maandalizi ikiwa ibilisi aliweza kutengeneza ng'ombe wa samiri na akaongea mbele za watu technolojia ya miaka kibao iliyopita leo hii atashindwa kumtengenezea mtu sauti wakati wakweli amekwenda kutafua elimu. Hata mawe yaliongea pia kwa mujibu wa uislamu niwekeni sawa sasa nini zaidi kinachoperekea kuwaamini watoto? Kumbuka ibilisi alimuingia mtu mwili mzima...
Itakuwaje Quran ianzie kwa muhammad wakati Ibilisi alikuwa akiisoma hata na kabla ya kuingia duniani kwa kumkufuru mungu? Au zilikuwa sound tu za waungwana? Msibadirishe tu hizi hoja.
Hakuna pia Dini ya mungu inayoitwa Islam.Y use the Qura'an in a+ve way and say that the bible is wrong. In the book of psalms it says sing to the LORD.I hope you read and understand the context of any given verse you choose. We have Christ and Christians as the followers of."CHRIST".SO brothers we have christianity.Pray that your faith may be strong in the Lord.
1 Corinthians 1: 18-19. the message of the cross is sheer folly to those who the way to distruction; but to us; who are on the way is salvation, it is the power of God. 19 Scripture says, i will destroy the wisdom of the wise, and bring to nothing the calverness of clever.
Duu Ukiristo ni umeanzishwa na wapangani wa antiokia hili si balaa hili. Wakiristo acheni kuyumbishwa na watu wanaojifagilia makanisani. Njooni kwa Mola wenu mmoja tuu alieumba Ardhi na Mbingu na vilivyomo. Ktk Uislamu mtampata Yesu, Mussa, Muhammad na utomu wote achaneni na imani za kiroma
chia2010100 9 months ago
Utapiganaje na waisraeli bwana utakuwa unampinga Musa aliyewapereka pale au unapinga hekima ya musa. Sasa tujue nani zaidi bwana kati yenu na Musa aliyekuwa nabii. Tafuteni sababu nyingine za kupigana siyo ardhi. Mnaona Musa a.s hana akili kabisa kuwaweka pale waisraeli. Hivyo vita vitakuwa vya jana na leo si vya kale mbona kipindi cha Isa hakukuwako na vita bwana vilikuwa tayari vimekwisha sasa nani ameanzisha nyingine.
SIABANDI1 1 year ago
Tutamjua vipi huyu ni Isa maana kuna Izra!
SIABANDI1 1 year ago
Naye Isa atakuja na nini asije akaturetea bida'a!
SIABANDI1 1 year ago
Wengine hatuogopi sauti za watoto hata wakiitwa masharifu ni habari tu za maandalizi ikiwa ibilisi aliweza kutengeneza ng'ombe wa samiri na akaongea mbele za watu technolojia ya miaka kibao iliyopita leo hii atashindwa kumtengenezea mtu sauti wakati wakweli amekwenda kutafua elimu. Hata mawe yaliongea pia kwa mujibu wa uislamu niwekeni sawa sasa nini zaidi kinachoperekea kuwaamini watoto? Kumbuka ibilisi alimuingia mtu mwili mzima...
SIABANDI1 1 year ago
Itakuwaje Quran ianzie kwa muhammad wakati Ibilisi alikuwa akiisoma hata na kabla ya kuingia duniani kwa kumkufuru mungu? Au zilikuwa sound tu za waungwana? Msibadirishe tu hizi hoja.
SIABANDI1 1 year ago
Aya gani ina rakaa na nyakati za kuswali maana mi naswali tu? Au ndio kitabu mauqutta!
SIABANDI1 1 year ago
Hakuna pia Dini ya mungu inayoitwa Islam.Y use the Qura'an in a+ve way and say that the bible is wrong. In the book of psalms it says sing to the LORD.I hope you read and understand the context of any given verse you choose. We have Christ and Christians as the followers of."CHRIST".SO brothers we have christianity.Pray that your faith may be strong in the Lord.
moraa2483 2 years ago
1 Corinthians 1: 18-19. the message of the cross is sheer folly to those who the way to distruction; but to us; who are on the way is salvation, it is the power of God. 19 Scripture says, i will destroy the wisdom of the wise, and bring to nothing the calverness of clever.
Plouky2009 2 years ago