Maharamia kutoka nchi jirani ya Somalia walioiteka nyara meli ya Ukraine katika bBahari ya Hindi ya Aden wametoa onyo kali dhidi ya jaribio lolote la kijeshi la kuwaokoa mabaharia hao au shehena ya mizigo iliyobebwa na meli hiyo MV Faina, vikiwemo vifaru vya kivita 33 vya jeshi la Kenya huenda vikaibua mtafaruku. Sasa wanaharamia hao wamitisha pesa taslimu shilingi bilioni 2.6 za Kenya ili kuachilia huru meli hio pamoja na waliotekwa .
Kwani kuna barabara baharini? Vipi iwe barabara ya meli? Mbona isiwe njia au mapito? Barabara nijuavyo mimi imo ardhini na ni njia ipitayo magari, pikipiki na baiskeli.
buashraf 3 years ago