Licha ya timu ya majeshi ya Second Brigade kutokuwa na baadhi ya wachezaji wake nyota ambao wanashiriki katika dimba la majeshi Uganda, timu hii ililaza Artillary Brigade mabao mawili kwa moja na kutwaa taji la Mkuu wa Majeshi siku ya Jumatano. Kindumbwendumbwe hicho cha wiki moja kimekuwa kikisakatwa katika kambi ya majeshi ya Kahawa Garrison.
Link to this comment:
All Comments (0)