Taswira ya Jamii: Ujabari wa mwanamke

Loading...

Sign in or sign up now!
Alert icon
Upgrade to the latest Flash Player for improved playback performance. Upgrade now or more info.
4,877
Loading...
Alert icon
Sign in or sign up now!
Alert icon

Uploaded by on Nov 21, 2009

http://www.ntv.co.ke
Maisha ya ujane sio rahisi. Na mara nyingi maisha hayo ya kipweke huwa ni jukumu kubwa kwa mama kiasi kwamba kujitosheleza mwenyewe ni jukumu si haba. Lakini kundi moja la wajane huko Malindi halijawahi kukata tamaa katika harakati za kujikimu kimaisha. Na sasa limejitwika jukumu la kuwafaa hata watoto mayatima na maskini. Ray Polo anaangazia bidii ya wanawake hao katika Taswira ya Jamii.

Category:

News & Politics

Tags:

License:

Standard YouTube License

  • likes, 0 dislikes

Link to this comment:

Share to:
see all

All Comments (10)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • @blackstheblessed Alosema Malindi ni Tanzania ni nani? Malindi ilikuwepo kabla ya Tanzania! Lau si muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Tanzania ingetoka wapi? Hizo zilikuwa nchi mbili huru! Zanzibar kwenyewe serikali ya CCM imekuwa ikiwaakandamiza wapinzani wao. Mji mchafu kama nini. Ustaarabu gani huo wa kuumizana wao kwa wao? Mwanadamu ni yule yule popote alipo. Tanzania unakoashiria kuna ustaarabu, ndiko wanakowaua maalbino kila kukicha! Wanashikilia bado mambo ya uchawi! Ustaarabu gani huo?

  • Just imagine if Coast(Mwambao) could be autonomy......we need to wake up!!!

  • Malindi Kuna Ustaarabu , So is to Wanzanzania , na Ustaarabu is what Kenyans Lack . Watu Wa Malindi Si Wakenya Ni Watanzania ( Wazanzibari ) Kubali au Pinga The Truth is the Truth .

  • eeeeh! hiyo veve imeiva!!!!! lol

  • Next time do a good piece on important issues not pathetic crap like poverty, women trafficking, prostitution, corruption and effects of tourism in Malindi.

    Not that pathetic BS

  • walalo254 Yamekuwa mazoea kukiboronga Kiswahili. Ninawasikia siku hizi wakisema jambo fulani limezua "tetesi" kwa maana ya mtafaruku au mzozo. Wengine wanasema SINTOFAHAMU ilhali neno la sawa ni SUITAFAHAMU. Tetesi ni uvumi, habari ambazo mtu hana hakika nazo. Iweje watu kusema "Maswala ya katiba yaliyozusha tetesi"? Ajabu!

  • kujivijari!!!asema nini huu dada,,?malindi raha!salaam.

  • ah ustadhi hebu wape darsa..lugha imekuwa nyeti!! lol

  • Jamani eeh! Kujivinjari ndiko kufanya nini? Kuvinjari najua, je huku kujivinjari ni nini?

Loading...
Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more