http://www.ntv.co.ke
Ushindani wa utawala baina ya mashirikisho ya ndondi unalaumiwa kwa kudidimia kwa viwango na mvuto wa masumbwi humu nchini. Hayo ni kwa mujibu wa bondia Congestina Achieng .Bingwa huyo aliyasema hayo alipotangaza pigano lake la kwanza mwaka huu dhidi ya Batroba Livahi kutoka Eldoret.Wakati huohuo timu ya taifa ya mabondia kumi itaondoka nchini alfajiri kuelekea Milan Italia kwa mashindano ya dunia.
heheheh wacheni apigane jo!conje weka mtu !!!onyesha hawa watu unaweza wakata kata !!kwanza chapa watu wa america ama vipi?
flomash 2 years ago
In keeping with the semenya tread, shouldn't conje be checked, to confirm whether she is really a chic.....juu maze kuna vile...
willremainameless 2 years ago
Achieng should retire from boxing soon. It's a career YES but most men aren't flexible to settle with a woman boxer.
apongkor 2 years ago
gosh she looks like a man
bolanye 2 years ago
boxing should be banned....all that bashing to the head makes them vegetables in their old age
siasabora 2 years ago