Alert icon
We're changing our privacy policy. This stuff matters.  Learn more  Dismiss

Uislamu Ni Dini ya Manabii Wote - Islam

Loading...

Sign in or sign up now!
Alert icon
Upgrade to the latest Flash Player for improved playback performance. Upgrade now or more info.
28,983
Loading...
Alert icon
Sign in or sign up now!
Alert icon
Ratings have been disabled for this video.

Uploaded by on Nov 17, 2008

Mwenyezi Mungu amesema kwenye Quran, surat Al Imran, aya ya 19, Akimaanisha: Dini pekee inayokubalika na Mwenyezi Mungu ni uislamu.

Uislamu ndio dini Mwenyezi Mungu anayoikubali kutoka kwa watumwa wake.

Mwenyezi Mungu ametuamrisha kuwa waislamu na kufuata sheria za kiislamu.

Uislamu ndio dini ya manabii wote. Manabii wote ni waislamu. Manabii wote wanamuamini Mwenyezi Mungu.

Nabii wa kwanza ni Sayidi wetu Adam, na wa mwisho ni Sayidi wetu Muhammad (Rehema ya Mwenyezi Mungu iwe juu yao)

Katika wakati wa Adam, watu walikuwa wakitamka, "La ilaha illallah Adam rasulullah."

Katika wakati wa Nuh, waislamu walikuwa wakitamka, "La ilaha illallah Nuh rasulullah."

Katika wakati wa Musa, waislamu walikuwa wakitamka, "La ilaha illallah Musa rasulullah."

Katika wakati wa Yesu, waislamu walikuwa wakitamka, "La ilaha illallah Issa rasulullah.'

Katika wakati wa Muhammad, waislamu wanatamka, "La ilaha illallah Muhammad rasulullah."

Mwenyezi Mungu anajua yote.

All Comments

Adding comments has been disabled for this video.

Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more