Alert icon
We're changing our privacy policy. This stuff matters.  Learn more  Dismiss

KIBAKI MUST STEP DOWN FOR NEW ELECTION

Loading...

Sign in or sign up now!
Alert icon
Upgrade to the latest Flash Player for improved playback performance. Upgrade now or more info.
5,542
Loading...
Alert icon
Sign in or sign up now!
Alert icon

Uploaded by on Jan 7, 2008

The international community is very much aware that Mwai Kibaki and his Party of National Unity (PNU) rigged the December 2007 Kenyan presidential election.

  • likes, 0 dislikes

Link to this comment:

Share to:

Uploader Comments (Munishi2)

  • Yawezekana NSIS wakawa na habari ambazo mimi sijui, lakini suluhu ilikuwa kuvuruga uchaguzi? Kura ni muamuzi wa mambo. Kama mlijua au mnajua ubaya wa Raila au yeyote, sheria ingechukua mkondo wake.Hata sasa hamjachelewa sheria ichukue mkondo wake. Kuniambia yaliyotokea yalisababishwa na hofu ya mliyoyajua mkakosa kuyachukulia hatua, ni sawa na kujibebesha lawama. Yaani Kibaki aliamuru tume ya uchaguzi imtangaze mshindi kwa lazima akitumia kigezo cha yale NSIS walioyajua? Je tuwalaumu NSIS?

  • Kumjua kibaki ni sawa. Kumpenda Kibaki ni sawa. Kutaka Kibaki awe rais wa Kenya ni haki yako. Lakini uhuru na haki yako, inaishia pale haki za wengine kuwajua wengine zinapoanzia. Uchaguzi unaruhusu uhuru wa wengi kuchagua wakipendacho. Ndiyo maana UCHAGUZI UNATAKIWA KUWA HURU NA HAKI. Iwe ilivyokuwa, ni ukweli usiopingika kwamba uchaguzi wa 2007 ulikuwa na kasoro. Kibaki alijitangaza mshindi, machafuko ya kisiasa yakaikumba Kenya.

  • Wengi walipoteza maisha yao, na maelfu kuhamishwa makwao. Mimi namlaumu Kibaki kwa yote hayo. Wewe unataka tuwalaumu USA. Haki ya wananchi kuchagua ndiyo ninayoipigania. Ikiwa NSIS ndio wanaowachagua viongozi Kenya, basi hakuna sababu ya kuitisha uchaguzi. Kama tume ya uchaguzi imempitisha mgombea urais, NSIS hawawezi kutuambia mtu huyo hafai kwa sababu wanazozijua na hawakuzichukulia hatua.

  • Hata kama kazi ya NSIS siyo kuwakamata washukiwa, basi wangepeleka habari hizo kwa vyombo husika ili hatua zichukuliwe. Uzuri wa Kibaki hautoshi kumpitisha kuwa rais bila kupingwa. Kura ya wananchi ndiyo kauli ya mwisho. Na katika uchaguzi wa 2007 kauli ya wananchi haikuheshimiwa. Hilo linanipa kichefuchefu. Kibaki unayemjua na kumpenda, unajua aliwahi kujaribu mara ngapi kuwania kiti cha urais bila mafanikio.

  • Aliposaidiwa na wana upinde, akafanikiwa kuwa rais. Akawageuka wenzake, akawatimua, akajizunguka na marafiki ambao mpaka sasa ndio wanaompoteza. Kwangu Kibaki ni kigeugeu, mtu asiye na shukrani, asiyeheshimu maagano. Haaminiki. Hawajali masikini. Hayo ndiyo maoni yangu kumhusu Kibaki. Siyo lazima kila mtu amuone Kibaki kwa mtizamo wangu. Mungu ni Haki. Kwake hakuna utapeli. Wanasiasa wanapotapeliana, wanaoumia ni watu waMungu ambao hawana hatia. kama MTUMISHI WA MUNGU SIWEZI KUACHA KUSEMA.

see all

All Comments (59)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • Munishi ni NABII wa MUNGU.Mwaka jana JANUARY Munishi alitamka haya. Leo mwaka mmoja baadaye KIBAKI alishakubali kwamba hakushinda uchaguzi. Ndiyo maana alikubali kugawa madaraka. Amekubali kwamba alitumia tume ya uchaguzi kuiba kura, ndiyo maana amewatimua wote. Amekubali kwamba yeye ni kiongozi asiyependwa na wakenya wote hata kabila lake hawamtaki.Yuko tu kwa sababu jamii ya kimataifa haitaki kumwaibisha zaidi ya hapo. Kama atamaliza miaka minne iliyobaki itategemea kama atafanya anavyoagizwa

  • Tatizo lenu ni zaidi ya ukabila.Sijui niliite nini. Hata wakenya wa kabila moja bado wanabaguana kwa misingi hawa neno fulani wanalitamka vibaya.Wakikuyu wa Muranga hawaelewani na Wakikuyu wa Nyeri. Hawa wa Muranga wanawaona wenzao wa Nyeri MAFALA wasio na bidii ya kutafuta. Kibaki ametoka Nyeri. Wakikuyu wa Kiambuu wanamuona ANAREGAREGA. Yaani FALA.Waluya nao siyo kabila moja. Ukivuka mto lugha inabadilika kidogo, na madharau yanaanza. Kenya inataka kiongozi kutoka nje ya Kenya, ka Obama USA.

  • Munishi is speaking the truth. He is a man of the people:)

  • did u listen to urself talk,u need ur meds

    seriously u started saying we should redo the election and then now u are like he should admit defeat what tha f***,rudi kwenyu bongo ur country need more help over there than we do thats why in th bible there is this verse that goes

    foolish pple see the speck of dust in others eyes but they ignore the big lump of soil/log in their own eyes

  • Wewe sio Mkenya. Nenda kwenu mbongo ukaongee mambo ya Kikwete. Umekuwa kama yula ngamia ambaya alisema ataka tu kuingiza kichwa kwa nyumba. Sasa ucha kuja Kenya, ukapata mali, na sasa wataka kutueleza vile tutaendeleza siasa za Jamuhuri ya Kenya. Nikuulize, kwanini bado uko Kenya, kwani VISA yako haijaicha? Ama umenunua makaratasi ya Kenya kama Wasomali. Wataka uchunguzwe wewe.

Loading...
Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more