SYNOVATE WMV V9

Loading...

Sign in or sign up now!
Alert icon
Upgrade to the latest Flash Player for improved playback performance. Upgrade now or more info.
555 views
Loading...
Alert icon
Sign in or sign up now!
Alert icon

Uploaded by on Oct 10, 2010

Ikiwa ni takribani siku tatu zimepita tangu REDET kutoa matokeo ya utafiti ya uchaguzi nafasi ya Urais kuwa JK anaongoza, Kampuni nyingine ya kimataifa ya utafiti ya SYNOVATE wametoa matokeo ya utafiti wao kuhusu nafasi ya uraisi ambao imeonesha kuwa iwapo uchanguzi ungefanyika leo, mgombea uras wa Chama Cha Mapinduzi, DK. Jakaya Mrisho Kikwete angepata asilimia 61 ya kura zote. Dk. Wilbroad Slaa wa Chadema yeye angeshika nafasi ya pili kwa kupata asilimia 16 na kufatiwa na Prof. Ibrahim Lipumba ambaye angepata asilimia 5! Aidha, utafiti huo umeonesha pia kuwa kuna asilimia 13 ya waliohojiwa ambao hawakuweka wazi maoni yao na ambao kama watapiga kura leo, JK angeweza kupata asilimia 70, Dk Slaa asilimia 18 na Lipumba asilimia 6.

"Waliobana maoni yao katika swali hili ni wengi sana asiilimia 13% ya wahojiwa wote. Ikiwa watapiga kura ilivyodhihirika hapa basi 70% watampigia Jakaya Kikwete,Wilbroad Slaa 18%, Lipumba 6% wengine 6%," ilismea sehemu ya taarifa hiyo iliyotolewa mchana huu na Meneja wa Synovate Tanzania, Aggrey Oriwo, mbele ya wanahabari ofisini kwake Mikocheni jijini Dar es salaam.

Category:

Music

Tags:

License:

Standard YouTube License

  • likes, 0 dislikes

Link to this comment:

Share to:
see all

All Comments (0)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
Loading...

Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more