Alert icon
We're changing our privacy policy. This stuff matters.  Learn more  Dismiss

Athari Za Ukame

Loading...

Sign in or sign up now!
Alert icon
Upgrade to the latest Flash Player for improved playback performance. Upgrade now or more info.
1,763
Loading...
Alert icon
Sign in or sign up now!
Alert icon

Uploaded by on Feb 7, 2011

Shirika la msalaba mwekundu limeanzisha shughuli za kununua mifugo kutoka kwa jamii za wafugaji haswa katika maeneo yaliyoathirika na ukame.Shirika hilo linawanunua mbuzi kwa shilingi elfu mbili badala ya shilingi mia sita, na mifugo hao wanapaniwa kutumiwa kama chakula cha msaada kwa wenyeji wa maeneo yaliyoathirika na baa la njaa. Shirika hilo linanuia kuwapunguzia wafugaji mzigo wa hasara utakaotokana na mifugo wao kufariki. Nalo eneo la Marsabit linaendelea kuripoti maafa zaidi haswa kwa mifugo, kutokana na ukosefu wa maji.

  • likes, 0 dislikes

Link to this comment:

Share to:
see all

All Comments (1)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • VISION 2012 HOW ABOUT WATER FOR ALL KENYANS  BE4 V2030

Loading...
Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more