Bahero ajibu porojo za Ustadh Fadhil

Loading...

Sign in or sign up now!
Alert icon
Upgrade to the latest Flash Player for improved playback performance. Upgrade now or more info.
3,622
Loading...
Alert icon
Sign in or sign up now!
Alert icon

Uploaded by on Jun 8, 2009

Aliezama akiona nyasi mbele yake huishika akidhani kuwa itamwokoa masikini kumbe azidi kudondomea.

Category:

People & Blogs

Tags:

License:

Standard YouTube License

  • likes, 2 dislikes

Link to this comment:

Share to:
see all

All Comments (21)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
  • Sasa zitatusaidia nini hizi zote. Leo waislam wana matatizo muhimu ya kuzungumza na kujadili ili kuondoa au kupunguza lakini inasikitisha waislam leo wazungumza au kupingana vitu ambavyo havitasaidia kwa jamii.

    Jamani tuache mizozo isiokua na misinji na tufanye ya muhimu kwa jami yetu.

    WAALEKUM SALAAM

  • MASKIINI BAHERO AME PEWA CHALLENGE AME SHINDWA KUJIBU AME BAKI NA MWAMADI SI MUHAMMAD .. KAMA NI KWELI ANGEJIBU SUALA LA NAJDI IKO WAPI NA AKUBALI KUWA AMEMZULIYA INUHAJAR UWONGO...MAWAHABI KAWAIDA HAWANA INSWAAF

  • Boss bwana HUSHAA6372 sisi watu wa al sunnah wal jamaa twasema kwamba kuteza haifai hatujali ni nani wala ni nani hata kama ni shekhe,walii,alhabib,sharifu,n­a mabwana wowote munaowajuwa wenyee ilimu na hata kama hawana ilmu twasema kwamba kuteza haifai hatujali ni nani wala nani,wanawake wenyewe wamekatazwa kuteza na matezo ni ya kike itakuwa wanaume,ichani mungu kuteza haifai,haifai,hafai.ni makosa tena ni makosa waasalamu alykum.

  • MrUkweli, samahani ndugu yangu. Kwanza nimefurahi kuuonyesha ufahamu wako mdogo juu ya dini ya kiislamu. Wewe, umeacha haki kwa mapenzi, ndugu yangu fungua macho na toa taka masikioni maana dunia hii ndio inamalizka. Uzushi munaoufanya kumsingizia Mtume SAW, hautosimama. Hao mashekhe wenu feki wamekwisha zao. Ittakillah.

  • @husha6372 KAMA HUYO SHEKHE AACHEZA...SO! Amefanya makosa na hatukubaliani nao kabisa. Sisi na nyie ni jambo moja tu! Aqida Aqida Aqida....kwa nini muwe wenye kupenda kuabudu makaburi (munaabudu makaburi kwa sababu munataka msaada kwa walokufa) - shirk nyingi nyingi ndio mnajua - coz hatuwezi simama kuwapinga so long as nyie ni threat kwa TAWHYD.

  • na huyo alocheza si bahero,by the way kwani hujui kama pia ustadh wa kina jufri alisulubiwa kwa kazi hiyo hiyo anao fanya jufri ya kutoa hadith za uwongo

  • hujakatazwa kupiga bt juwa mumezuwa nyinyi huo mchezo,na haumo katika dini.

  • si dunia nzima ni nyinyi ndio mwaheshimu watu wazushi.

  • hana wivu bt anamasikitiko kwa vile huyo unaye mwita habib anvyo towa hadithi dhaif kibao na bado umakazana habib jufri,huwa kadhaab,n bahero anaona vibaya kwa Mtume kusingiziwa,wivu munaonyinyi musokuwa na dalili,Bahero zidisha zingine uzidi kutuelimisha,hawa wana wivu wakiona watu waanza kugundua.

  • A.a nyoteni,Kwanzo ninge penda kumpongeza bahero kwa juhudi hii alofanya na anayo endelea kufanya,Inshallah Mungu akupe moyo hunu hunu.ninngependa kumpongeza feiz na mr.ukweli,na kuwajibu watu hawa, Husha bahero hana wivu wala hamtakii habib wenu jufri ubaya bt awaonesha uzushi jufri anaotuzulia na nyinyi muko mukimwita alhabib,hii ni dalili tosha kuwa jufri mwenyewe hampendi Mtume,kama ampenda then asinge toa hadith dhaif.

Loading...

Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more