http://www.ntv.co.ke
Nchi ya Kenya ina maeneo mengi yaliyo na madini ambayo bado hayajavumbuliwa na yaliyovumbuliwa hayajulikani kiasi chake na thamani yake. Je,wajua kwamba katika jimbo la Tharaka Nithi kuna madini aina ya chuma cha pua ambayo wenyeji wamekuwa wakiyachimbua kwa mikono kwa miaka mingi? Sasa serikali inayafanyia utafiti madini hayo na huenda wakaazi wa maeneo husika wakaanza kunufaika karibuni. Lolani Kalu aliyachimbua hayo katika makala ya je, wajua?
@EA1088 - search for the english version "Iron ore posibility in Tharaka " (possibility misspelt as posibility).
sirjonduke 8 months ago
I wish it had English subtitles...
EA1088 8 months ago