Mambo! A future classic of Tanzanian music!
Whatsup from Bagamoyo, Tanzania performs his song Vitoto.
This track can be found from Kibagamoyo Wabagamoyo - Singer-songwriters from Tanzania CD (Uulu Records 2010). Buy your copy from http://www.uulu.fi/shop
Culture Cooperative Uulu is a Finland based company employing mostly ethnomusicologists that works with music from all around the world.
Lyrics (in Swahili):
Chorus/ubeti:
Unavigonganisha vitoto, vitoto vya watu toka Jamaica. Unavigonganisha vitoto, vitoto vya watu toka Afrika. Uchune unune we sio jabali. Uchune unune we sio jabali.
Verse/kiitiko:
Au shikaji vipi mbona umeuchuna? Mkiskia hili songi na zani linawakuna. Nyinyi ndo mamamba wengine hakuna hoo. Babu wa tagwani nawauliza tena mmeuchuna. Mkisikia hili songi na zani linawauma. Nyinyi ndo mamamba wengine hakuna. Babu watagwani watagwani. Moja fagi, mbili fagi, tatu fagi, nne fagi, tano fagi, sita fagilia haa. Sitafagilia haa.
Verse/kiitiko:
Mara huyu yule vipi tena ndo fani? Mjanja ndo wewe unajitwika kichwani. Ukipata ngoma utamlaumu nani hii? Babu watagwani watagwani. Sasa tuwekea, taifa litapotea, kwenye asilimia mia, sabini wameupokea. Tusiposichunga, wanangu tutapotea, jamaa watagwani watagwani. Usimghasi dumpatipati. Ye ana wake hee, peke yake hee. Muachie, usimwingilie hee.
Could you add lyrics too? Pleaz!
zugubuutto 10 months ago