Maalim Seif Sharif Hamad_London_13-02-2010 (Burhan_Ibrahim) Katibu Mkuu Wa Chama Cha Wananci CUF, akihutubia katika mkutno wa hadhara 13 Feb 2010 Mjini London. Maalim alitoa ufafauzi juu ya Muafaka (Maridhiano) Wa Zanzibar. Alieleza baadhi ya mambo waliyokubaliana wakati alikutana na Rais wa Zanzibar Mh. Amani Abeid Karume ikiwa ni pamoj na Kufuta na kusahau tofauti zao za kisiasa na kuijenga upya Zanzibar kwa maslahi ya watu wa Zanzibar.
Ahlan Wasahalan Bi kum;
Tumefurahi kusikia maneno ya Maalim Seif. Tuko pamoja kwenye hili.
feiz3180 1 year ago