hey kanumba ur my idol u doing very well keeping present us and do ur job ,one day u will get there , all bulshit to people its makes u to be strong and succesfull trust me .....i love ur job
kanumba stop being a cryin baby!! go cry to ur mama!! bonge la jamaa, " 2 be honest, im disapointed!!"... JIKAZEEE, hii ni show biz!!... CRYIN BABY!!! BWAHAHAHAHAHHAHAHHAHA... MAN UP!!
Kanumba we uko safi- Ila tatizo kama ilivyo kwa wasanii wengine maarufu ni hilo la matumizi ya lugha. Hapa unaongea mara Kiingereza mara Kiswahili sasa ndiyo ninii?Jifunze Kiswahili fasaha ndiyo lugha yetu ya taifa sio Swanglish. Achana na wanaotukuza kiingereza ni watumwa...jisifu kwa kuongea Kiswahili ila usikichafue kwa kuchanganya. Bora uchanganye na Kisukuma..kiingereza kitu gani?
Nakutakia kila la kheri na hongera kwa kung'ara kisanii na kutuelimisha kupitia sanaa. Ila punguza mapouda..
kumbuka kwamba si wote wanaokupenda na pia wako wanaotaka usifanikiwe tena wanapika majungu ya fitina dhidi yako! kiingereza nini kiingereza wewe! kiingereza kitu gani kwetu? si lolote si chochote! hata kama ungezungumza kisukuma au kiswahili hao waliyosema yao wangeliyasema tu. jambo muhimu kwao si lugha bali ni wewe , na wanasaka kila njia za kukuvunja moyo katika mchakato mzima wa usanii wako. Tubebee bendera yetu ya Tanzania na ya usanii wa Tanzania sisi tuko pamoja na wewe.
Kwanini unaumizwa na hao wenda wazimu wanaodhani kuwa kiingereza ndio maendeleo? Achana nao hao! fanya kazi yako waweke kando hao na wala usiwajali! kuna watu ambao hiyo ndio kazi yao. sisi watanzania tunaokupnda tumeona kazi yako ya kisanii na tunakukubali vrzuri kabisa tena asilimia 100. tunakuomba utosheke na hilo.
Kanumba i feel u my brother,yani umenigusa sana kaka.Kama ulivyosema,we endele tu kudumisha sanaa yako na please usife moyo.Ndiyo Tanzania hiyo.
MrMechili 3 months ago
hey kanumba ur my idol u doing very well keeping present us and do ur job ,one day u will get there , all bulshit to people its makes u to be strong and succesfull trust me .....i love ur job
misfit959 7 months ago
kip it up CRACKER
steagul2 9 months ago
kip it up nigger
mbogaful 9 months ago
u're the best ever
555555555882 9 months ago
c"mon
555555555882 9 months ago
kanumba stop being a cryin baby!! go cry to ur mama!! bonge la jamaa, " 2 be honest, im disapointed!!"... JIKAZEEE, hii ni show biz!!... CRYIN BABY!!! BWAHAHAHAHAHHAHAHHAHA... MAN UP!!
mkubwa1986 11 months ago
Kanumba we uko safi- Ila tatizo kama ilivyo kwa wasanii wengine maarufu ni hilo la matumizi ya lugha. Hapa unaongea mara Kiingereza mara Kiswahili sasa ndiyo ninii?Jifunze Kiswahili fasaha ndiyo lugha yetu ya taifa sio Swanglish. Achana na wanaotukuza kiingereza ni watumwa...jisifu kwa kuongea Kiswahili ila usikichafue kwa kuchanganya. Bora uchanganye na Kisukuma..kiingereza kitu gani?
Nakutakia kila la kheri na hongera kwa kung'ara kisanii na kutuelimisha kupitia sanaa. Ila punguza mapouda..
michaejp1 11 months ago
kumbuka kwamba si wote wanaokupenda na pia wako wanaotaka usifanikiwe tena wanapika majungu ya fitina dhidi yako! kiingereza nini kiingereza wewe! kiingereza kitu gani kwetu? si lolote si chochote! hata kama ungezungumza kisukuma au kiswahili hao waliyosema yao wangeliyasema tu. jambo muhimu kwao si lugha bali ni wewe , na wanasaka kila njia za kukuvunja moyo katika mchakato mzima wa usanii wako. Tubebee bendera yetu ya Tanzania na ya usanii wa Tanzania sisi tuko pamoja na wewe.
MegaKibwana 11 months ago
Kwanini unaumizwa na hao wenda wazimu wanaodhani kuwa kiingereza ndio maendeleo? Achana nao hao! fanya kazi yako waweke kando hao na wala usiwajali! kuna watu ambao hiyo ndio kazi yao. sisi watanzania tunaokupnda tumeona kazi yako ya kisanii na tunakukubali vrzuri kabisa tena asilimia 100. tunakuomba utosheke na hilo.
MegaKibwana 11 months ago