Ni miaka miwili sasa tangu Rais Mwai Kibaki na waziri mkuu Raila Odinga waliposalimiana nje ya jumba la harambee na kutia saini makubaliano ya kuunda serikali ya muungano. tukio lenye umuhimu mkubwa mno ambao hauwezi kusahaulika kwani ulikomesha ghasia zilizokuwa zikiendelea mfano wa dereva anayeshika breki za dharura akiwa katika mwendo wa kasi. Lakini visa vya hivi majuzi vya kupatikana kwa silaha mikononi mwa watu binafsi mjini Narok mkoa wa Rift Valley vimeibua hofu kuu. Baadhi ya maswala yanayowatatiza wakenya wapenda amani ni je, kuna uwezekano kwamba kuna baadhi ya makundi yanayolenga kuzua ghasia kwa mara nyingine. ili kubaini ukweli wa mambo mwanahabari mpekuzi Muhammed Ali alizama katika mkoa wa Rift Valley kutafuta hali halisi ya mambo. Na kama utakavyoona katika taarifa hii, serikali inapaswa kuwa macho kwani kuna uwezekano wa historia kujirudia na kuwaacha wakenya na maafa makubwa. Kwa taarifa kamili hii hapa sehemu ya kwanza ya makala ya demokrasia kijambazi. Tungependa kukuonya mtazamaji kwamba baadhi ya picha katika taarifa hii ni za kutatiza.
what bastards people died for politicians and they shake hands and drink coffee together like nothing has ever happened people fought for raila what did raila do to this people its time for change we need someone who is new and can bring raila and kibaki to justice as well as all the people who mistreat kenyans ,dont just look at jicho pevu and say its sad whats going on in kenya and have your dinner its time to act this program or mohamed ali cant change whats going on its we kenyans to do it
kiatukichafu 23 hours ago
ktn, do you have a way of contacting the lady in this vid @ min 8.00?
mngopa 9 months ago
this is really scary. i am happy we never had this madness in NEP. i hope all kenyans will resolve their differences peacefully rather than solving it with violence. you all have my prayers. i was really moved by the cry of the displaced lady. u can clearly see her anger and defeat. lets make a kenya livable by all of us without hate and persecution of a certain community. PEACE TO YOU ALL.
theGarissian 1 year ago
Go Ocampo..the so called big fish needs to be taken to Hague for no justice will be realized in Kenya. These people takes Kenyans for granted and they needs to locked away and the keys thrown away. MP's have no value for ordinary Kenyans lives.
tonnygatch 1 year ago
Sad. How can this be happening in Kenya??And Moi is holding rallies with the Mungiki leader. Is there any doubt as to what he is upto
2190g1 1 year ago