http://www.ntv.co.ke
Watu 32 waliouawa kwenye kisa cha wizi wa mifugo huko Laikipia wamezikwa. Wengi waliouawa kwenye tukio hilo ni wanawake na watoto. Na wenyeji wanadai kuwa maofisa wa usalama na utawala walifahamishwa kuhusu njama hiyo, lakini hawakuchukua hatua madhubuti wakati ufaao. Dennis Onsarigo anachambua suala la wizi wa mifugo.
Hon Kaparo, the last time I checked you were part of a group that are poised to disinherit the same people you are now pretending to protect. That is you are part of those who want to fence that area from Baringo around Mt Kenya to Nanyuki thus keeping the lower beings in the lower plains. You guys are evil
shondeshonde 2 years ago
Nice to hear from you Hon Kaparo.I feel your pain,we all deserve gov protection and what is going on in this region is evil. Back to you Kaparo,don't you like it we have a real speaker of the hse?Imagine the changes you may have effected all those yrs your ass messaged that seat. Two look how different you are from the folks being mowed down,these guys are not poor they just lack education, something you have.Has it occured to you to do or say something about it? We need many Kaparos
shondeshonde 2 years ago