TRACK :- JIRANI MCHOKOZI- GOSPEL MUSIC By MUNISHI - GTV
Loading...
11,416
Loading...
Uploader Comments (gospelgtv)
see all
All Comments (4)
-
a good video, watu waache fitina, hasa Wakenya.siasa si chakula tukose tufe na njaa.
-
Siasa yako imejaa upuzi,chuki and ugawanyaji..unahakika, hivi ndivyo bwana wetu yesu kristo angeaandika?baadala ya kuimba "niacheni niende nikahubiri injili "pengine ingekuwa vyema kama ungeimba niacheni nende kenya nikahubiri chuki,mgawanyiko and siasa duni yenye kukosa maendeleo....Kibaki na Raila wote wakenya kama mimi na wewe ni mkenya pia?
-
hahahaha lmaaaaooooeeeesssssstttttttt
-
Kibaki akubali suluhu. Yeye ndiye mwanzilishi wa haya. Watu wanamuonea haya kwa nini?
Loading...
About America and Britain, to Kibaki they are nothing. even Pastor Munishi is nothing to Kibaki. But if i were to meet Kibaki, This is what i would have told him. "Raila a Luo said Kibaki a Kikuyu tosha. Why is it so hard for Kikuyu Kibaki to say Luo Raila Tosha??????" Now you said HATOSHI, Kenyans said ANATOSHA. Why use ECK to rob Kenyans of their president????" That is what I want to ask Mr. Kibaki.
gospelgtv 4 years ago
You can not steal polliticaly and hide in the law. This is what Kibaki is doing. "Siasa siyo taasisi, lakini wanasiasa huunda taasisi." "Wabunge hutunga sheria lakini haiwachagui" "Siasa ndio huzaa wabunge ambao hutunga sheria." "Makosa ya kisiasa lazima yatatuliwe kisiasa." KIBAKI ALIIBA KISIASA NA ANAJIFICHA KWENYE SHERIA. HAITAMSAIDIA. AJIUZULU SIASA IANZE TENA. SIYO KUWATUMA WATU MAHAKAMANI
gospelgtv 4 years ago
Yalikuwa madukuduku, Kibaki akayafanyia kosa la kwanza kuiba kura, likazaa kosa la pili watu wasohusika na wizi wa kura wakahamishwa makwao, wengine wakauawa kinyama. Haikuishia hapo, Wakikuyu nao wakafanya kosa la tatu, kuwahamisha makabila mengine kwao. Sasa kuna maongezi ambayo yanapaswa kusimamisha makosa yasiendelee, siyo kuhalalisha kosa la kwanza.
gospelgtv 4 years ago