watu huku canada wananza kuwa na système ya ba singles moms (singo) yaani mama na watoto ila hana bwana ,alors que iko na bwana pamoja juu wapate pesa nyingi na leo hiyi muwale watu munatka wamoja wanaanza kushitaki ku departement inayo husika na njoo kutowa siri, resultats watu wanaanza kuhamahama juu siri zawo zisijulikane ,hiyo si vizuri juu kuhama hama mu anda kunarudishanaka nyuma,juu uko unaanziliya maisha upya mufasi mupya,dites-moi siku gani hum-bondo atawaza kujenga ubémbéikoparesseux
unaona problèmes za wabembe hawataki hata kusoma na kuona vyenye unafikiya eko kule ,sijuwe kama wanawazaka kuwa kanada njoo nini? wanakaa wanasahabu Fizi , ubishi na matusi njoo wanakaliya huku canada ,na ku tangaza grades académiques zawo tu, mimi nasema niko canada na nimetumika kazi ila sikubaki napesa yoyote juu huku pesa inaenda kwenye taxes impots na kama watu hawafunguwe macho tutakosa ngambo mbili canada, na fizi, mwenye anapata kidogo anapashwa kushuka fizi alime na ajenge mayele iko.
watu huku canada wananza kuwa na système ya ba singles moms (singo) yaani mama na watoto ila hana bwana ,alors que iko na bwana pamoja juu wapate pesa nyingi na leo hiyi muwale watu munatka wamoja wanaanza kushitaki ku departement inayo husika na njoo kutowa siri, resultats watu wanaanza kuhamahama juu siri zawo zisijulikane ,hiyo si vizuri juu kuhama hama mu anda kunarudishanaka nyuma,juu uko unaanziliya maisha upya mufasi mupya,dites-moi siku gani hum-bondo atawaza kujenga ubémbéikoparesseux
aambamakyemaaya 3 years ago
unaona problèmes za wabembe hawataki hata kusoma na kuona vyenye unafikiya eko kule ,sijuwe kama wanawazaka kuwa kanada njoo nini? wanakaa wanasahabu Fizi , ubishi na matusi njoo wanakaliya huku canada ,na ku tangaza grades académiques zawo tu, mimi nasema niko canada na nimetumika kazi ila sikubaki napesa yoyote juu huku pesa inaenda kwenye taxes impots na kama watu hawafunguwe macho tutakosa ngambo mbili canada, na fizi, mwenye anapata kidogo anapashwa kushuka fizi alime na ajenge mayele iko.
aambamakyemaaya 3 years ago
good job brother showing those guys maybe something worth and benefit to our people of bobémbé can happen .
aambamakye 3 years ago