Roaming calls controversy - swahilli

Loading...

Sign in or sign up now!
Alert icon
Upgrade to the latest Flash Player for improved playback performance. Upgrade now or more info.
230 views
Loading...
Alert icon
Sign in or sign up now!
Alert icon

Uploaded by on Sep 9, 2011

Waziri wa mawasiliano samuel poghiso ametangaza kwamba tume ya mawasiliano nchini inapania kufanya mashauriano na mdhibiti wa mawasiliano nchini uganda kuhusiana na lalama zilizopo kwamba raia wa kenya wanaoishi mipakani wanatozwa ada ya ziada ya kupiga simu. Hata hivyo baadhi ya wabunge walitaka shirika la safaricom kuwafidia raia wake ambao wametozwa ada hiyo lakini kwa mujibu wa poghisio shirika hilo halishiriki katika kutoza ada hiyo .jee anayetoza ada hiyo ni nani? Na jee kuna sheria za kudhibiti upeperushaji wa masafa ya mawasiliano?

  • likes, 0 dislikes

Link to this comment:

Share to:
see all

All Comments (0)

Sign In or Sign Up now to post a comment!
Loading...

Alert icon
0 / 00Unsaved Playlist Return to active list
    1. Your queue is empty. Add videos to your queue using this button:
      or sign in to load a different list.
    Loading...Loading...Saving...
    • Clear all videos from this list
    • Learn more