Ushindani mkali unashuhudiwa huko Berlin Ujerumani katika kongamano la kila mwaka la utalii la ITB, ambapo kenya ni mmojawapo ya mataifa yanayoshiriki katika maonyesho ya utalii. Na kama mwanahabari wetu wa biashara Peter Wakaba aliye Berlin anavyotuarifu, itabidi kenya kukaza kamba zaidi na pia kuongeza bajeti kuuza vivutio vya utalii nchini ili juhudi zake za kuvutia idadi ya watalii wanaozuru nchi iongezeke.
We need to diversify our tourist attractions if we are to ever make this a sustainable and more robust market. We can't just keep marketing the same old Mombasa, animals, etc. support local culture!
daniells71 1 year ago
it is called marketing
karuitha 1 year ago
your'e silly. whites are not our masters.
WacheniUshenzi 1 year ago
i dnt know bt it looks like africans apealing to their white masters
madscientistify 1 year ago