Katika kile kinachoonekana kuwa masaibu zaidi katika sekta ya elimu, waalimu wapatao mia mbili wamekita kambi katika makao makuu ya chama cha waalimu KNUT wakiwa kwenye mgomo wa kutokula. Frank Otieno anatupasha jinsi waalimu hao wa daraja la p1; na ambao walihitimu kidato cha sita, wanalalamikia kubaguliwa na chama hicho ambacho wanasema kinapaswa kutetea masilahi yao, kwani wenzao ambao hawajahitimu wamekuwa wakilipwa mishahara mara mbili zaidi ya wao kwa miaka kumi na minne
the guys complaining should have also mentioned the deductions they face.
daniells71 2 years ago