Msururu wa mbio za magari mwaka huu utaanza wikendi hii jijini nyeri huku madereva wengi wakiwa na imani ya kwamba safari hii mambo hayatawaendea mrama. Miongoni mwa madereva hao ni kundi la kinadada wajulikanao kama warembo bila make up na haraka mamas. Kulingana nao tajriba ambayo wamepata tangu waanze mashindano haya itakuwa nguzo muhimu ya kufanya vyema mwaka huu.
follow them to the future? keep your distance makes more sense
siasabora 4 weeks ago