Siku moja kabla ya muda uliotolewa kwa wakenya kudurusu kielelezo cha katiba mpya kukamilika, chama cha pnu hii leo kimewasilisha mapendekezo yake kwa kamati ya wataalam kuhusu katiba siku chache baada ya ODM kuwasilisha maoni yake. Haya yanajiri huku tofauti zikidhihirika baina ya vyama hivyo kuhusu baadhi ya vipengee hasa kile cha mfumo wa utawala huku chama cha PNU kisisitiza kuwa kitaunga mkono mfumo wa rais mwenye mamlaka makuu. Je vyama hivyo vitaweza kuafikiana?
To ask parliament what and yet we know that most MPs are for sale to the highest bidder. Most MPs are very corrupt people who dont even pay tax.
72okoths 2 years ago