http://www.ntv.co.ke
Polisi wanaolinda nyumba zinazoamikika kuwa za wana chama wa shirika la wanawake la mitumba zilizoko katika eneo la Wilson walikumbana na wageni wa kipekee. wana chama hicho walifika kwenye ploti hiyo kwa kishindo wakitisha maafisa hao wawaondokee. Hata hivyo, wenyewe waliondoshwa. Umiliki wa ardhi hiyo unazozaniwa baina kundi hizo mbili huku uvumi ukenea kuwa serikali ina mpango wa kubadilisha ploti hiyo kuwa kambi ya maafisa wa polisi.
The poor and down trodden continue to suffer. How sad.
njerikaranja 2 years ago
Police grabbing poor people properties. if they have proper documents then why is the police stopping them?
karuitha 2 years ago
It' d be nice to've the police, policewomen especially, live here legally.
siasabora 2 years ago