Baada ya Waziri Mkuu Raila Odinga kutoa changamoto kwa wanaume katika jamii ya waluo kutahiriwa kama njia moja ya kupunguza maambukizi ya virusi vya ukimwi, hisia tofauti ziliibuka huku wengine wakimuunga mkono na wengne kumpinga, na baadhi yao kuanza kuwatahiri wenzao kwa lazima. Kutokana na hayo imeonekana ni vyema kuwepo kwa mikakati kabambe kuhakikisha kuwa wale wanao jitolea kutahiriwa wanafanya hivyo kwa njia iliyo sawa bila maambukizi au kutengwa na jamii. Ili kuafikia lengo hili serikali sasa imechukua hatua ya kutoa mwongozo rasmi.
Very funny that the Luos were tricked into cutting off their cherished foreskin to keep off the virus. How many heads must some people have to know when they're tricked? Fimbo ya Moi!
bwanakeino 3 years ago
who said cutting the fore skin can help prevent HIV infection?? i think people are dont have brains., how many cut people have HIV., a fool will get cut and start enjoying this thing ati reduced chances of getting infected.,HIV dont choose.,, cut or uncut,., better be educated b4 u go to have it cut., for those official jus bcoz they have a voice,, if they are checked., utayastahajabu ya firahuni.,.,
ustolemaheart 3 years ago