http://www.ntv.co.ke
Ni dhahiri kwamba kupungua kwa kiwango cha maji katika mito inayotoka Mlima Kenya kuna athari nyingi, hasa katika sekta ya kuzalisha kawi. Tayari kampuni ya KENGEN imelazimika kuzima mitambo ya bwawa la Masinga kutokana na upungufu wa maji. Lakini NTV imejitwika jukumu na kutembelea vyanzo vya mito hiyo katika mlima Kenya, tulipobainisha kuwa mbali na ukame na ukosefu wa mvua, wananchi wenyewe wanachangia upungufu wa maji.
good job to show the part of the real cause of the problem
aokoh 2 years ago
Kawi inazalishwa kina ni mwanamke?
buashraf 2 years ago