Ili kuambatana na lengo lao la kufanikisha usafiri wa hali ya anga kati ya nchi za Afrika mashariki, kampuni ya ndege ya fly 540 hatimaye imezindua safari kutoka kenya hadi Burundi. Kampuni hii inajivunia kustawi zaidi tangu uzinduzi wake katika mwaka wa 2006 na inafanikisha usafiri wa ndege kwa bei nafuu ikilinganishwa na kampuni nyinginezo katika kanda ya Afrika Mashariki. Mwanahabari wetu carol nderi alisafiri hadi Burundi na kutuandalia taarifa hii.
Holy Shit,Its Benson on the Crew Anouncment,He was our Flight Purser on the Fly540 Flight 714 to Malindi on ATR 72-300 5Y-BUT
Kapnatui 2 years ago