,ukabila,vita vya kikabila,ufisadi,wizi wa kura,tamaa ya uongozi,njaa iliyosabibishwa na wanasiasa, wanasiasa waliokataa kulipa ushuru,wanasiasa wanaojipa pesa mingi kuliko wale wa nchii zilizo endelea,wanasiasa wanaoharibu nchi kisha wamsingizia mkoloni-kwani si tulipata uhuru? kampuni karibu zote si ni za kigeni?.natumai kwamba mtatafuta maadhui yatakayo tusaidia kujenga nchi yetu bali sio maudhui yatakayo wakera na kuwafukuza watalii wanaoleta pesa mingi zaidi nchini zinazo saidia uchumi wetu
kweli kabisa
WacheniUshenzi 4 months ago
Mziki safi kabisa. Nawashukuru sana waliotunga. Mungu awabariki sana wanamziki wa Tanzania na Kenya.
Gosbert100 6 months ago
GO NECSARRY NOIZZE!
MAKE MORE VIDS
vikkie365 1 year ago
hii song ni poa ya kudance na marafiki wako kwa sleepover!
vikkie365 1 year ago
ky and TZ
WCH Z kENYA AND TANZANIA BB
Az16600 1 year ago
una swahili safi yani
patssoxceltics 2 years ago
wasee mna swahili safi
patssoxceltics 2 years ago
Kweli. Inanisikitisha kwamba kila siku watu wanaendelea kupoteza haki zao na pia imani.
TetuaMaana 2 years ago
twakubaliana kabisa!
hasahnee 2 years ago
,ukabila,vita vya kikabila,ufisadi,wizi wa kura,tamaa ya uongozi,njaa iliyosabibishwa na wanasiasa, wanasiasa waliokataa kulipa ushuru,wanasiasa wanaojipa pesa mingi kuliko wale wa nchii zilizo endelea,wanasiasa wanaoharibu nchi kisha wamsingizia mkoloni-kwani si tulipata uhuru? kampuni karibu zote si ni za kigeni?.natumai kwamba mtatafuta maadhui yatakayo tusaidia kujenga nchi yetu bali sio maudhui yatakayo wakera na kuwafukuza watalii wanaoleta pesa mingi zaidi nchini zinazo saidia uchumi wetu
Ndume08 2 years ago