@IBENSADUUN09 NB: Kwa kukusaidia ili kukupunguzia hisia zilizozidia fikra na kugubika ufahamu wako ni kwamba, Wimbo huu ulitungwa South Africa na Enock Sontonga mwaka 1897 ukiwa wimbo wa ANC na baadae kuwa wimbo wa Taifa la South Africa....Na kwa ujumbe uliomo hauoneshi Uislamu wala Ukristu wala Uhindu bali upo flati kwa watu wote, labda kama kuna mtu haamini Mungu ndiye atakaye ona amebaguliwa na wimbo huu.
@IBENSADUUN09 Tumia kigezo kingine chenye mashiko kusema Tanzania ina udini. Hilo la wimbo umeonesha kutokomaa kitafakuri. Kuna mambo mengi tu unayoweza kutumia kudhibitisha udini serikalini na sio wimbo kutungwa Vatican. Hata kana ungetungwa Mwitongo ama Torabora, panapo ulazima wa kutumia wimbo kutoa hukumu bado ujumbe uliomo katika wimbo ndio ungekuwa dira kama Tz ni ya udini au la!
Suby upo wapi mkuu we need to chat! Labda tunaweza tuka-create pamoja
louxonmedia 3 months ago
@IBENSADUUN09 NB: Kwa kukusaidia ili kukupunguzia hisia zilizozidia fikra na kugubika ufahamu wako ni kwamba, Wimbo huu ulitungwa South Africa na Enock Sontonga mwaka 1897 ukiwa wimbo wa ANC na baadae kuwa wimbo wa Taifa la South Africa....Na kwa ujumbe uliomo hauoneshi Uislamu wala Ukristu wala Uhindu bali upo flati kwa watu wote, labda kama kuna mtu haamini Mungu ndiye atakaye ona amebaguliwa na wimbo huu.
michaejp1 1 year ago
@IBENSADUUN09 Tumia kigezo kingine chenye mashiko kusema Tanzania ina udini. Hilo la wimbo umeonesha kutokomaa kitafakuri. Kuna mambo mengi tu unayoweza kutumia kudhibitisha udini serikalini na sio wimbo kutungwa Vatican. Hata kana ungetungwa Mwitongo ama Torabora, panapo ulazima wa kutumia wimbo kutoa hukumu bado ujumbe uliomo katika wimbo ndio ungekuwa dira kama Tz ni ya udini au la!
michaejp1 1 year ago
we jamaa creative!
michaejp1 1 year ago
Inchi yetu haina dini Nyerere niuwongo kwa sababu wimbo wa taifa ya Tanzania umetungwa Vatican kahio niuwongo kwamb Tanganyika haina dini
IBENSADUUN09 1 year ago
Asante kwa hii video... respect!!
makumbele 3 years ago
nice video man, we need to hang out next time i am in town.
Mambo?
klanger13 3 years ago