http://www.ntv.co.ke
Muacha mila ni mtumwa. Hilo hudhihirishwa mara kwa mara wakati watu wa jamii mbalimbali wanapokutana kwa hafla ya kuenzi mila zao. Jamii ya Waburji haijaachwa nyuma kwa hilo kwani hukutana mara moja kwa mwaka jijini Nairobi kujikumbusha utamaduni wao. Tunaiangazia jamii hiyo katika makala ya Taswira ya Jamii.
Kenya is unique.....Tuishi kwa amani
omardigalo 1 year ago
waaoooo,
kjayy023 1 year ago
i didnt kno ethiopians were in kenya haha...they're obviously not ethiopians but thts wat their background is....its gd
emashcmb 1 year ago
eh wajomba wako veve kaa nini!! hahaha
walalo254 1 year ago