Mwanajeshi mmoja wa kenya anaripotiwa kuuawa, na wengine wanne kujeruhiwa vibaya baada ya gari walimokuwa wakisafiria kulipuliwa kwa bomu. Shambulizi hili linalodaiwa kutekelezwa na wanamgambo wa al-shabaab lilitokea huko mandera mpakani mwa kenya na somalia. Msemaji wa jeshi meja emmanuel chirchir kwa upande wake alikanusha ripoti kwamba ni wanajeshi 11 waliojeruhiwa kati ya 13 waliokuwa ndani ya gari hilo. Mlipuko huo ulitokea wakati wanajeshi hao walikuwa wanashika doria katika eneo hilo.
@riakanauproper malaya wewe
GuakaMali 3 months ago
kill ALL Kenyan troops inside Somalia...
GuakaMali 3 months ago