http://www.ntv.co.ke
Tangu jadi wachungaji na wahubiri na baadhi ya wanaojiita manabii wamekuwa wakidaiwa kufanya yale ambayo yameshindikana kufanyika kupitia sayansi ya kisasa. Yaani kuponya wagonjwa kwa kumshika kwa mkono, au kupigwa na upepo au kwa kutumia njia ya ajabu. Lakini ni wachache kama wapo ambao wanaponya kwa imani. Katika miezi michache iliyopita maelfu ya watu wa matabaka tofauti wanamiminika katika kijiji kimoja kaskazini mwa Tanzania ili kupata kikombe cha dawa kutoka kwa aliyekuwa mchungaji wa Kanisa la Lutheran, Ambilikile Mwasapile. Mzee huyo wa umri wa miaka 72 anasema kuwa anaweza kutibu magonjwa sugu kama ukimwi, saratani na hata kisukari. John-Allan Namu ambaye amerejea ameandaa sehemu ya kwanza ya makala yafuatayo ya maajabu loliondo ambayo yamesomwa na Rashid Abdallah.
i have met many in this area of maasai mara who hve visited Ambilikile (loliondo) and are healed of their diseases surely God has done great.peter maluki
petermaluki 9 months ago
Tafadhalini Mtafuteni Yesu. Kuna Mtumishi wake nchini Nigeria. Aitwa TB Joshua.
Angalieni Emmanuel Tv . Pia wwwscoan dot org
Espenji 9 months ago
@kamatamwizibab
Yes! :)
Bahalicicious 11 months ago
someni matayo 24
davidkiplel 11 months ago
hatari sana the bad thng is that this place is so remote and there are no social services infrastructure that can accomodate such number of people. Watu wanakufa kila siku huko. Mi sijui ila kama hili ndilo jaribu la imani basi mimi nimefeli ila imani yangu iko kwa Yesu Kristu wa Nazareti!
kamatamwizibab 11 months ago
i dnt know really bt i dnt believe it im a christian bt i dnt believe that ths man can courier people
TheChocoflava 11 months ago
i swear.........no comment.am just proud to be african.
kent705 11 months ago
Idiocy and conman-ship
mytime81 11 months ago
This is why I love Africa. Things and People never cease to amaze me.
karuitha 11 months ago
bullshitttt urongooooooo
bilobrown 11 months ago