Wakili Kenneth Kiplagat ameipeleka serikali mahakamani kudai malipo ya shilingi bilioni 3.4 kwa kuishughulikia kesi dhidi ya serikali katika mahakama ya kimataifa jijini hague nchini Switzerland. Kesi hiyo iliwasilishwa na kampuni ya world duty free kulalamikia kunyimwa biashara na serikali. Wakili Kiplagat amemtaka jaji wa mahakama ya mizozo ya kibiashara kuamuru kulipwa fedha hizo huku mkuu wa sheria Amos Wako akipinga vikali kesi hiyo.
Ati billioni tatu!! Hata hana aibu.
sequenced 1 year ago